Kimenuka KAKOBE kuchunguzwa mali zake: asema anaizidi serikali utajili - deepentz

Breaking News

test banner
Kimenuka KAKOBE kuchunguzwa mali zake: asema anaizidi serikali utajili

Kimenuka KAKOBE kuchunguzwa mali zake: asema anaizidi serikali utajili

Share This
Kakobe ambaye ni kiongozi wa kanisa kubwa hapa Tanzania amejikuta akitakiwa kutoa ushirikiano katika ukaguawaji wa mali zake na ulipaji wa kodi serikalini baada ya kuwa ametoa kauli tata inayoonesha kujisifia kuizidi serikali ya Tanzania. Hii imekuja baada ya kusema kuwa yeye ni Tajili Mkubwa Tanzania kuliko serikali hii ya leo.

Ni siku chache tu baada yakuwa na Mgogoro uliokuwa ukimtuhumu kutoa lugha ya uchochezi siku ya Chrismass aliposhusha maneno yaliyoonekana kumtaja mkuu wa nchi tofauti na serikali inavyotaka. Kama unakumbuka vizuri, Kakobe akiungana na washirika waka aliwahi kuwa na mgogoro mwingine na serikali hadi waumini wake wakagoma huku wakimuunga mkono paster au kiongozi wao huyo mwaka 2015 wakati nchi ikiongozwa na JK

Mgogoro huo ulikuwa wa umeme wa tanesco, Tanesco ikitaka kupitisha nguzo karibu na kanisa lakini Kakobe na waumini wake wakikataa na wakiamua kupishana lindo usiku na mchana ili TANESCO wasipitishe umeme na nyaya za umeme mahali pale. Sakata hilo liliisha sasa limeanzishwa lingine huku viongozi wa dini wakikatazwa kujihusisha na siasa.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

ZARI alichokifanya kwa Mtoto wa DIAMOND: kamfanyia kitendo kikubbwa.

Video hii hapa chini itakujuza zaidi kuhusiana na kisa na mkasa wa alichokiaandika zari kwa mtoto huyo hii hapa  https://youtu.be/iSLPB33Mf...

Post Bottom Ad

DEEPEN TZ

Pages